Skip to main content

Posts

Wild life

     Hi every body,it's wednesday again,let's talk a little bit about african wild life       Africa we have a vast range of wild life that cannot found anywhere in the world,different species of animals and trees,from the innocent gazel to the big fives       These animals together with their sorroundings needs our support so as can provide us with the maxmum benefits       Our wildlife contribute alot to our social economy activities,i.e our nations get alot of money from tourism,and that money goes either directly or indirect to our societies,like schools for the kids,hospitals and other development projects like roads,water supplies, etc      We need to join our efforts,to protect,defend and conserve our wildlife for us and the future generation,everybody in his/her position,leaders and the societies in general,together we can can make the changes we want,love your country,conserve our wildlife
Recent posts

Tabata reli

     Vijana ni taifa la kesho,ni msemo wa wahenga,bila shaka wengi wetu tunaufahamu msemo huu.       Katika miaka ya hivi karibuni kumekuwa na tabia ya kuwaona vijana kama wasumbufu,watu wasiojielewa na mengine kama hayo,sikatai kwasababu kila familia ina misingi na taratibu zake katika malezi,na malezi hayohayo ndio leo yaliyo tuletea viongozi wala rushwa,mafisadi na wengine wengi wa aina hizo.       Lengo hapa nikuweka sawa baadhi ya mambo,japo kwa uelewa wangu tabia ni kama ngozi huwezi kuibadili,mfano katika jumuia yangu,vijana wenzangu kuna wenye mawazo ambayo hata mtoto wa primary hawezi kuyaleta mbele ya rafiki zake,mnapanga kusaidiana kutatua changamoto zinazowakabili,mnaandaa kikundi mkisajili ili muweze kudhaminiana katika mambo ya mikopo na biashara,mtu mzima(18+) analeta dharau na ujinga,anawafelisha.       Pamoja na mapungufu yetu lakini kuna vijana wanaojielewa,vijana ambao wana malengo na mipanga yao,ambao wako tayari kufanya kazi na vijana wenzao kujiletea maendeleo

SEMA HAPANA KWA UJANGILI

  Ujangili ni tatizo kubwa katika bara la afrika,ujangili umepunguza idadi ya wanyama pori    Serikali za nchi za afrika zimekuwa zikitumia njia mbalimbali katika kukabiliana na janga la ujangili,ie ushirikishwaji wa wananchi waishio kandokando ya hifadhi za wanyama pori,utungaji na ufuatiliaji wa sheria ndogondogo nk.     Mtanzania na mwafrika mwenzangu,wanyama pori ni rasilimali muhimu sana na urithi wetu tulioachiwa na mababu zetu,hata sisi tunajukumu la kulinda na kuendeleza mambo yote yahusuyo wanyama pori na mazingira yao kwa faida ya kizazi cha sasa na cha baadae.    Mimi napinga ujangili,naunga mkono juhudi za serikali na mashirika mbalimbali katika vita dhiidi ya ujangili.    Penda nchi yako,penda afrika yako,wapende wanyama pori wetu kwa manufaa ya kizazi cha sasa na cha baadae.SEMA HAPANA KWA UJANGILI

JAMII ZETU

  Katika maisha ya kila siku,watu huwa tunajifunza mambo mbalimbali,tulipokosea jana,leo tunajirekebisha.   Maisha ni safari,na katika safari hio kuna mambo mengi mapya tunakutana nayo,pia zipo changamoto mbalimbali tunakutana nazo,.....usikate tamaa,changamoto ziwe chachu ya kusonga mbele.   Tupambane,kijana unapo tafuta maisha jaribu kuishi maisha yako,tamani mafanikio ya fulani,lakini usiishi kama fulani.

Karibu katika blog yako mtanzania

Habari,mwanangu aisha ni blog ya kijamii inayokupatia habari mbalimbali zinazo husu mazingira yetu,ie mazingira ni kila kinachomzunguuka mwanadamu Lengo kuu la blog hii ni kupashana habari juu ya mambo yanayotuzunguka,maoni yako yanamchango mkubwa sana,ila tafadhari,tumia lugha nzuri kwani blog hii ni ya watu wo te